Hii ni huduma ambayo nilipewa na
Mungu mwaka 2009 kwa mataifa yote.Huduma hii haina dhehebu lakini msingi wake
ni Yesu Kristo mwokozi wa watu wote na ROho Mtakatifu msaada wa karibu.Mungu
yupo kwetu kwa makusudi maalumu.Na hakuna jambo chini ya jua ambalo halina
kusudi.Shetani yupo kubadilisha makusudi mema ya Mungu kuwa Mabaya LAKINI Mungu
yupo kutengeneza na KUREJESHA makusudi yake mema.
MALENGO
( WORLDWIDE )
1.KUHAKIKISHA KWA NJIA YA:
A:NENO
LA MUNGU ( KUHUBIRI )
-Warumi
10:14, Isaya 55:11, Mithali 30:5
B:MAOMBI
NA MAOMBEZI
-Mathayo 7:7, Yakobo 5:14-15
C:USHAURI
(COUNSELLING )
-1Timotheo 5:1-2
WATU:-
v Wanarejea kwa Mungu ( kuokoka ).Mathayo
28:19, Marko 16:15-18
v Wanarudishiwa HAKI yao na vitu vyao
walivyonyang’anywa na
Shetani.Yoeli
2:25.
Mfano:-AFYA,
AKILI, UTAJIRI/MALI, VIPAWA / UTUMISHI, UHURU
WA KUABUDU, MAMLAKA YA KUTAWALA,
KUMILIKI NA
KUTIISHA n.k.Isaya 42:6-7, Yeremia
1:10, Mwanzo 1:28
v Watu wafunguliwe na kuwekwa HURU
kabisa.Isaya 52:3
2.KUMFANYA MWANADAMU
AMWABUDU MUNGU KATIKA ROHO NA KWELI.
Nia na madhumuni makuu ya Mungu kumuumba mwanadamu ni
kwamba Mungu apate kuabudiwa, na ndio maana akaandaa mazingira mazuri /
stahiki(condunsive environment) ya kumfanya mwanadamu afikiri tu juu ya Mungu
na siyo matatizo.Mwanzo 1:26-28, Yohana
4:23-24, Hosea 13:4-8, Kumbukumbu 8:18.
MISINGI YA HUDUMA
A: MAOMBI
Filipi
4:6-7, Matendo 4:30-31, Yeremia 31:9, Zaburi 105:4, Zaburi 32:6, Isaya 62:6-7.
B: KUFUNGA
Isaya
58:6, Mathayo 12:21, Yoeli 2:12,15, Yoeli 1:14.
Jumatano
na siku nyingine.
C: IMANI
Ebrania
11:1, Mathayo 17:20, 2Wakorintho 5:7, Marko 9:23
D: UTAKATIFU
Ebrania
12:14, 1Petro 1:15-16, Ufunuo 22:11, 1Yohana 3:3, Efeso 4:29-30
E: NENO LA MUNGU
Ebrania
4:12, Ufunuo 19:13-16, Yohana 1:1-5,14, Mithali 30:5, Zaburi 107:20, Zaburi
119:17-18, Isaya 40:8, Zaburi 119:105, Hosea 4:6, Marko 12:24.
F: UFUNUO WA ROHO MTAKATIFU
Yohana
16:13, Amosi 3:7, Yohana 14:26, Mwanzo 6:13, Zaburi 32:8, Mithali 3:32, Zaburi
143:10, Zaburi 25:4.
N.B: Kumtegemea zaidi ROHO
MTAKATIFU kupita vyote ( akili, ufahamu, fikra n.k).Warumi 8:26, 2Wakorintho
10:5
MAWASILIANO
Mobile no: 0757 350527
Na:
NICKSON KIPANGULA-R.P.S
Comments
Post a Comment