Posts

Showing posts from December, 2013
IBADA HALISI INAANZIA ROHONI Yohana 4;23-24 IBADA ni ushirika kati yako na Mungu sawasawa na nafasi zenu. MAANA YAKE; Mungu ni baba yako na wewe ni mwana wake. Hivyo, unanyenyekea na kusikiliza anachokuagiza baada ya hapo unampa mahitaji yako. >Yeye anakupa maagizo na kusikiliza unachohitaji.( You MUST appreciate not only what God has done,but also what he IS ABLE to do. Katika Ibada halisi kuna:- >Kuabudu halisi >Imani halisi >Ushuhuda halisi >Maono halisi na, >MIUJIZA halisi. Bila kuzama rohoni mambo yako yanakuwa ni ya kuigiza. Warumi 8;5-6 ·          Unalia machozi ya samaki baharini (yasiyokumbukwa) ·          Unapigana na upepo adui yupo upande mwingine *Wahubiri wengi huhubiri kwa hekima za kibinadamu siyo kwa Roho mtakatifu na kwa NGUVU kwa kuwa Ibada zao si za rohoni. 1korintho 2;4-5 *Huwezi ukajua uliyokirimiwa na Mungu (KARAMA ZA MUNGU KWAKO) kama hauabudu katika Roho na kweli. 1korintho 2;9-12 *Huwezi ukaabudu k
IBADA HALISI INAANZIA ROHONI Yohana 4;23-24 IBADA ni ushirika kati yako na Mungu sawasawa na nafasi zenu. MAANA YAKE; Mungu ni baba yako na wewe ni mwana wake. Hivyo, unanyenyekea na kusikiliza anachokuagiza baada ya hapo unampa mahitaji yako. >Yeye anakupa maagizo na kusikiliza unachohitaji.( You MUST appreciate not only what God has done,but also what he IS ABLE to do. Katika Ibada halisi kuna:- >Kuabudu halisi >Imani halisi >Ushuhuda halisi >Maono halisi na, >MIUJIZA halisi. Bila kuzama rohoni mambo yako yanakuwa ni ya kuigiza. Warumi 8;5-6 ·          Unalia machozi ya samaki baharini (yasiyokumbukwa) ·          Unapigana na upepo adui yupo upande mwingine *Wahubiri wengi huhubiri kwa hekima za kibinadamu siyo kwa Roho mtakatifu na kwa NGUVU kwa kuwa Ibada zao si za rohoni. 1korintho 2;4-5 *Huwezi ukajua uliyokirimiwa na Mungu (KARAMA ZA MUNGU KWAKO) kama hauabudu katika Roho na kweli. 1korintho 2;9-12 *Huwezi ukaabudu k