KAZI YA DAMU YA YESU ILIYO ACHILIWA MWILINI MWAKE.
1.KUFANYA AGANO JIPYA KATI YA MWANADAMU NA MUNGU. **Agano jipya ni Imara zaidi lihusulo WOKOVU kwa NEEMA kwa njia ya IMANI **Limefanyika kwa damu ya Yesu inenayo MEMA kuliko damu nyingine Zote. -inanena:-UPONYAJI,UZIMA,WOKOV U,MAFANIKIO nk. **Imetolewa na Yesu mwenyewe kama KUHANI MKUU.Ebr 4:14-16. 2.DAMU KUTOKA KICHWANI MWAKE a).Damu iliyotoka kama jasho. Luka 22:44 >>LENGO:- ....Kufuta laana ya KULA KWA JASHO.Mwa 3:19,hagai 1:6-7. *kutumia nguvu sana kunafanya jasho kitoke.MEANS: MTATUMIA NGUVU NYINGI BILA MAFANIKIO MAANA HAMNA MAARIFA. -ndiyo maana wakristo wengi wanaishi kwa madeni HAWANA MAVUNO jambo ambalo siyo mpango wa Mungu kabisa.KUMBUKA: IPO TOFAUTI KATI YA MKOPO NA DENI! *Kwanini damu kama jasho imwagike kichwani??? -(KUTENGENEZA KWA UPYA MFUMO WA AKILI<ubongo> ili mwanadamu aweze kufikiri kwa undani kuliko kufanya mambo mengi yasiyo hata na mafanikio b).Damu kutoka kichwani mwake kwa TAJI YA MIIBA.Math 27:29. >>LENGO:- **Kufut